My Creation

Tuesday 4 June 2013

KINACHOENDELEA SASA

Kwasasa kinachoendelea barabarani ni wananchi wamezuia gari lililobeba mwili wa Albert Mangweha na wakiamuru jeneza lishushwe walibebe wao..msafara bado unaelekea Mwimbili..



No comments:

Post a Comment